MWENYEKITI JUMUIYA YA WAZAZI TAIFA APOKELEWA NA RC CHONGOLO SONGWE


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ndugu *Fadhili Maganya* amewasili katika mkoa wa Songwe rasmi kwa ajili ya kuanza ziara yake na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa huo Daniel Chongoloambaye amemweleza namna ilani ilivyotekelezwa kwa vitendo.

Chongolo amesema kuwa ndani ya miaka minne ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan madarakani mkoa umeimarika kimaendeleo na kiuchumi huku akimuahidi zawadi ya kura za ushindi kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.

Baada ya kusaini kitabu cha wageni, Maganya alimshukuru Chongolo kwa mapokezi mazuri aliyompa wakati alipowasili katika ofisi yake.



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WAGOMBEA,WANACHAMA WA CCM VILIO JUU YA KURA ZA MAONI HAI

BARAZA LA ARDHI LAFUTA KESI YA ARDHI KUTOKANA NA DOSARI ZA KISHERIA

TAWIRI YAWAKARIBISHA WADAU KUFANYA TAFITI KATIKA SPISHI MUHIMU YA SOKWE