KIKAO CHA KAWAIDA CHA BARAZA LA WAZAZI WILAYA YA ARUSHA
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Arusha Ally Mwinyimvua,amefungua kikao hicho cha Baraza la wazazi wilayani humu na kuwahasa jumuiya hiyo kuendeleza mshikamano na ushirikiano mkubwa kueleke uchaguzi mkuu 2025 kwa kuwa wamoja na kuyaacha mengine.
Pia Ameitaka jumuiya hiyo kuepuka chuki na kuacha kuchukiana wenyewe kwa wenyewee ilikuendelea kukijenga chama kuwa imara zaidi.






Maoni
Chapisha Maoni