BINGWA WA MAGONJWA YA SARATANI KUTOKA HOSPITALI YA HCG IPO ARUSHA SASA
Habari njema kwa wakazi wote wa Arusha, Daktari bingwa wa magonjwa ya saratani kutoka hospitali ya HCG ya nchini India anakuja jijini Arusha kwenye kambi ya siku 2 ya magonjwa ya saratani, itakayoratibiwa na MedINCREDI kwa kushirikiana na hospitali ya NSK Hospitals
Kambi hii itakayofanyika kati ya tarehe 24/10/2024 kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa kumi na moja jioni,na tarehe 25/10/2024 kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa sita na nusu mchana, itatoa nafasi ya wagonjwa wote wanaosumbuliwa na magonjwa ya saratani, kumuona daktari huyu bingwa kwa gharama ya shilingi 35,000/- tu.
Kwa mawasiliano zaidi
0626 221 331
0786 524 323
0782 410 548




Maoni
Chapisha Maoni